Mwanzo 44:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini yeye akasema: “Ni jambo lisilowaziwa upande wangu kufanya hivyo!+ Mtu ambaye mkononi mwake kikombe hicho kilipatikana ndiye atakayekuwa mtumwa wangu.+ Ninyi wengine, nendeni kwa amani kwa baba yenu.”+
17 Lakini yeye akasema: “Ni jambo lisilowaziwa upande wangu kufanya hivyo!+ Mtu ambaye mkononi mwake kikombe hicho kilipatikana ndiye atakayekuwa mtumwa wangu.+ Ninyi wengine, nendeni kwa amani kwa baba yenu.”+