Mwanzo 47:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Farao akawauliza ndugu zake: “Mnafanya kazi gani?”+ Basi wakamwambia Farao: “Watumishi wako ni wachungaji wa kondoo,+ sisi na mababu zetu pia.”+
3 Kisha Farao akawauliza ndugu zake: “Mnafanya kazi gani?”+ Basi wakamwambia Farao: “Watumishi wako ni wachungaji wa kondoo,+ sisi na mababu zetu pia.”+