Mwanzo 47:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:19 Mnara wa Mlinzi,5/1/1987, kur. 15, 19
19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+