Mwanzo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yehova akasema: “Nitawafutilia mbali kutoka usoni pa nchi wanadamu ambao nimeumba,+ mwanadamu na mnyama wa kufugwa, na mnyama anayetembea na kiumbe kinachoruka cha mbinguni,+ kwa sababu ninajuta kwamba nimevifanya.”+ Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:7 w98 4/15 7 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:7 Mnara wa Mlinzi,4/15/1998, uku. 7
7 Kwa hiyo Yehova akasema: “Nitawafutilia mbali kutoka usoni pa nchi wanadamu ambao nimeumba,+ mwanadamu na mnyama wa kufugwa, na mnyama anayetembea na kiumbe kinachoruka cha mbinguni,+ kwa sababu ninajuta kwamba nimevifanya.”+