Mwanzo 47:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na Yosefu akaifanya iwe amri mpaka leo hii kuhusu mashamba yaliyo mali ya Misri ya kwamba Farao apewe mpaka sehemu ya tano. Ni mashamba ya makuhani tu wakiwa kikundi tofauti ndiyo hayakuwa ya Farao.+
26 Na Yosefu akaifanya iwe amri mpaka leo hii kuhusu mashamba yaliyo mali ya Misri ya kwamba Farao apewe mpaka sehemu ya tano. Ni mashamba ya makuhani tu wakiwa kikundi tofauti ndiyo hayakuwa ya Farao.+