Mwanzo 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yosefu akaenda kumzika baba yake, na watumishi wote wa Farao, wanaume wazee+ wa nyumba yake na wanaume wote wazee wa nchi ya Misri, wakapanda kwenda pamoja naye,
7 Kwa hiyo Yosefu akaenda kumzika baba yake, na watumishi wote wa Farao, wanaume wazee+ wa nyumba yake na wanaume wote wazee wa nchi ya Misri, wakapanda kwenda pamoja naye,