Mwanzo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:21 Furahia Maisha Milele!, somo la 6 Amkeni!,3/2014, uku. 7
21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.