Mwanzo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwamba, wala uzi wala kamba ya kiatu, sitachukua kitu kutoka kwa chochote kilicho chako,+ usije ukasema, ‘Ni mimi niliyemtajirisha Abramu.’
23 kwamba, wala uzi wala kamba ya kiatu, sitachukua kitu kutoka kwa chochote kilicho chako,+ usije ukasema, ‘Ni mimi niliyemtajirisha Abramu.’