Mwanzo 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na yeye atakuwa kama punda-milia. Mkono wake utamwinukia kila mtu, na mkono wa kila mtu utamwinukia yeye;+ naye atakaa mbele ya uso wa ndugu zake wote.”+
12 Na yeye atakuwa kama punda-milia. Mkono wake utamwinukia kila mtu, na mkono wa kila mtu utamwinukia yeye;+ naye atakaa mbele ya uso wa ndugu zake wote.”+