Mwanzo 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.” Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:5 w96 10/1 12 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:5 Mnara wa Mlinzi,10/1/1996, uku. 12 “Kila Andiko,” uku. 18
5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”