Mwanzo 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Yehova akasema: “Mimi nikipata katika Sodoma watu 50 waadilifu katika jiji hilo nitapasamehe mahali hapo pote kwa ajili yao.”+
26 Kisha Yehova akasema: “Mimi nikipata katika Sodoma watu 50 waadilifu katika jiji hilo nitapasamehe mahali hapo pote kwa ajili yao.”+