Mwanzo 19:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wale malaika wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, na Loti alikuwa ameketi katika lango la Sodoma.+ Loti alipowaona, akasimama awapokee, akainama kifudifudi.+
19 Basi wale malaika wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, na Loti alikuwa ameketi katika lango la Sodoma.+ Loti alipowaona, akasimama awapokee, akainama kifudifudi.+