8 Tafadhali, hapa nina binti wawili ambao hawajapata kamwe kulala na mwanamume.+ Tafadhali, acheni niwatoe nje kwenu. Kisha mwatendee kama ilivyo vema machoni penu.+ Ila tu wanaume hawa msiwatendee jambo,+ kwa kuwa ndiyo sababu wamekuja chini ya kivuli cha paa yangu.”+