14 Kwa hiyo Loti akatoka nje akaanza kusema na wana-wakwe zake ambao wangechukua binti zake, naye akaendelea kusema: “Ondokeni! Tokeni mahali hapa, kwa sababu Yehova ataliharibu jiji!”+ Lakini machoni pa wana-wakwe zake alionekana kama mtu aliyekuwa anafanya mzaha.+