19 Tafadhali, sasa, mtumishi wako amepata kibali machoni pako+ hivi kwamba unatukuza fadhili zako zenye upendo,+ fadhili ambazo umenionyesha ili kuhifadhi hai+ nafsi yangu, lakini mimi—mimi siwezi kukimbilia eneo lenye milima kwa sababu naogopa nisije nikafikiwa na msiba nife.+