Mwanzo 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, Abimeleki hakuwa amemkaribia.+ Kwa hiyo akasema: “Yehova, je, utaua taifa ambalo kwa kweli ni lenye uadilifu?+
4 Hata hivyo, Abimeleki hakuwa amemkaribia.+ Kwa hiyo akasema: “Yehova, je, utaua taifa ambalo kwa kweli ni lenye uadilifu?+