Mwanzo 24:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nami nikainama chini na kujilaza kifudifudi mbele za Yehova, nikambariki Yehova, Mungu wa bwana wangu Abrahamu,+ aliyekuwa ameniongoza katika njia ya kweli+ ili kuchukua binti ya ndugu ya bwana wangu kwa ajili ya mwana wake.
48 Nami nikainama chini na kujilaza kifudifudi mbele za Yehova, nikambariki Yehova, Mungu wa bwana wangu Abrahamu,+ aliyekuwa ameniongoza katika njia ya kweli+ ili kuchukua binti ya ndugu ya bwana wangu kwa ajili ya mwana wake.