Mwanzo 24:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Lakini yeye akawaambia: “Msinizuilie, kwa kuwa Yehova amefanikisha njia yangu.+ Acheni niende, ili nipate kwenda kwa bwana wangu.”+
56 Lakini yeye akawaambia: “Msinizuilie, kwa kuwa Yehova amefanikisha njia yangu.+ Acheni niende, ili nipate kwenda kwa bwana wangu.”+