Mwanzo 24:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Baada ya hayo Isaka akamleta Rebeka ndani ya hema la Sara mama yake.+ Hivyo akamchukua Rebeka, naye akawa mke wake;+ naye akampenda,+ na Isaka akapata faraja baada ya kumpoteza mama yake.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:67 Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),Na. 3 2016, uku. 15 Mnara wa Mlinzi,7/1/1989, uku. 28
67 Baada ya hayo Isaka akamleta Rebeka ndani ya hema la Sara mama yake.+ Hivyo akamchukua Rebeka, naye akawa mke wake;+ naye akampenda,+ na Isaka akapata faraja baada ya kumpoteza mama yake.+