7 Basi, wanaume wa mahali hapo wakawa wakiuliza juu ya mke wake, naye akawa akisema: “Yeye ni dada yangu.”+ Kwa maana aliogopa kusema “Ni mke wangu” kwa kuogopa kwamba, kama alivyosema, “wanaume wa mahali hapa wataniua kwa sababu ya Rebeka,” kwa sababu alikuwa mwenye sura ya kuvutia.+