Mwanzo 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe akafika mahali fulani, akaanza kukaa hapo usiku huo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Kwa hiyo akachukua moja la mawe ya mahali hapo akaliweka kuwa kitu cha kutegemeza kichwa chake, akalala mahali hapo.+
11 Mwishowe akafika mahali fulani, akaanza kukaa hapo usiku huo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Kwa hiyo akachukua moja la mawe ya mahali hapo akaliweka kuwa kitu cha kutegemeza kichwa chake, akalala mahali hapo.+