Mwanzo 30:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha akasema: “Nikupe nini?” Naye Yakobo akaendelea kusema: “Hutanipa chochote kamwe!+ Ukinitendea jambo hili, mimi nitaanza tena kuchunga kundi lako.+ Nitaendelea kulilinda.+
31 Kisha akasema: “Nikupe nini?” Naye Yakobo akaendelea kusema: “Hutanipa chochote kamwe!+ Ukinitendea jambo hili, mimi nitaanza tena kuchunga kundi lako.+ Nitaendelea kulilinda.+