33 Na wema wangu niliotenda utanitetea siku yoyote ya baadaye ambayo huenda ukaja kuutazama mshahara wangu;+ kila mmoja asiye na mabaka na madoa-doa ya rangi kati ya mbuzi-jike na rangi ya kahawia kati ya wana-kondoo dume ni kitu kilichoibwa ikiwa yupo pamoja nami.”+