- 
	                        
            
            Mwanzo 30:36Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
36 Baada ya hayo akaenda kukaa umbali wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, na Yakobo alikuwa akichunga mifugo ya Labani iliyobaki.
 
 -