Mwanzo 30:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kisha Yakobo akachukua fimbo zilizokuwa bado mbichi za mlubna+ na za mlozi+ na za mwaramoni ili azitumie,+ akaziambua madoa meupe kwa kumenya sehemu nyeupe-nyeupe zilizokuwa kwenye hizo fimbo.+
37 Kisha Yakobo akachukua fimbo zilizokuwa bado mbichi za mlubna+ na za mlozi+ na za mwaramoni ili azitumie,+ akaziambua madoa meupe kwa kumenya sehemu nyeupe-nyeupe zilizokuwa kwenye hizo fimbo.+