8 Ikiwa kwa upande mmoja alisema, ‘Wenye mabaka watakuwa mshahara wako,’ ndipo kundi zima lilizaa wenye mabaka; lakini ikiwa kwa upande mwingine alisema, ‘Wenye mistari-mistari watakuwa mshahara wako,’ ndipo kundi zima lilizaa wenye mistari-mistari.+