Mwanzo 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Labani akaingia katika hema la Yakobo na hema la Lea na hema la wale vijakazi wawili,+ lakini hakuipata. Mwishowe akatoka katika hema la Lea akaenda katika hema la Raheli.
33 Kwa hiyo Labani akaingia katika hema la Yakobo na hema la Lea na hema la wale vijakazi wawili,+ lakini hakuipata. Mwishowe akatoka katika hema la Lea akaenda katika hema la Raheli.