10 Lakini Yakobo akasema: “Hapana, tafadhali. Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,+ basi ichukue zawadi yangu mkononi mwangu, kwa sababu kwa kupatana na kusudi lake mimi nimeona uso wako kana kwamba ni kuona uso wa Mungu kwa kuwa umenipokea vizuri.+