Kutoka 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini Yehova akaendelea kusema na Musa na Haruni na kuitoa amri kupitia kwao kwa wana wa Israeli na kwa Farao, mfalme wa Misri, ili kuwatoa wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri.+
13 Lakini Yehova akaendelea kusema na Musa na Haruni na kuitoa amri kupitia kwao kwa wana wa Israeli na kwa Farao, mfalme wa Misri, ili kuwatoa wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri.+