Kutoka 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Amka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao.+ Tazama! Anatoka kwenda majini! Nawe utamwambia, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.+
20 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Amka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao.+ Tazama! Anatoka kwenda majini! Nawe utamwambia, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.+