Kutoka 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yehova akafanya jambo hilo siku iliyofuata, na aina zote za mifugo ya Wamisri zikaanza kufa;+ lakini hakuna mnyama yeyote kati ya mifugo ya wana wa Israeli aliyekufa.
6 Basi Yehova akafanya jambo hilo siku iliyofuata, na aina zote za mifugo ya Wamisri zikaanza kufa;+ lakini hakuna mnyama yeyote kati ya mifugo ya wana wa Israeli aliyekufa.