Kutoka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi, naye hakuwaruhusu wana wa Israeli waende zao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema kupitia Musa.+
35 Nao moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi, naye hakuwaruhusu wana wa Israeli waende zao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema kupitia Musa.+