26 Na mifugo yetu pia itaenda pamoja nasi.+ Hakuna hata ukwato utakaoruhusiwa kubaki, kwa sababu ni kutoka kati yao kwamba tutachukua baadhi yao ili kumwabudu Yehova Mungu wetu,+ nasi wenyewe hatujui tutakachotoa katika ibada kwa Yehova mpaka tufike huko.”+