Kutoka 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Musa na Haruni wakafanya miujiza yote hiyo mbele ya Farao;+ lakini Yehova alikuwa akiuacha moyo wa Farao uwe mkaidi, hivi kwamba hakuwaruhusu wana wa Israeli waende zao kutoka katika nchi yake.+
10 Na Musa na Haruni wakafanya miujiza yote hiyo mbele ya Farao;+ lakini Yehova alikuwa akiuacha moyo wa Farao uwe mkaidi, hivi kwamba hakuwaruhusu wana wa Israeli waende zao kutoka katika nchi yake.+