Kutoka 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Yethro akasema: “Na abarikiwe Yehova, ambaye amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa Farao, na ambaye amewakomboa watu kutoka katika mkono wa Misri.+
10 Basi Yethro akasema: “Na abarikiwe Yehova, ambaye amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa Farao, na ambaye amewakomboa watu kutoka katika mkono wa Misri.+