Kutoka 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 22:1 Ufahamu, uku. 493 Mnara wa Mlinzi,6/15/1992, uku. 30
22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+