Kutoka 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.