Kutoka 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini akasema:“Si sauti ya kuimba kwa sababu ya tendo lenye nguvu,+Wala si sauti ya kuimba kwa sababu ya kushindwa;Ni sauti ya uimbaji mwingine ninayoisikia.”
18 Lakini akasema:“Si sauti ya kuimba kwa sababu ya tendo lenye nguvu,+Wala si sauti ya kuimba kwa sababu ya kushindwa;Ni sauti ya uimbaji mwingine ninayoisikia.”