Kutoka 34:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mara baada ya hapo wana wote wa Israeli wakamkaribia, naye akaanza kuwaamuru mambo yote ambayo Yehova alikuwa amesema naye juu ya Mlima Sinai.+
32 Mara baada ya hapo wana wote wa Israeli wakamkaribia, naye akaanza kuwaamuru mambo yote ambayo Yehova alikuwa amesema naye juu ya Mlima Sinai.+