Kutoka 40:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Halafu akaweka ile beseni kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia ndani yake maji ya kuosha.+
30 Halafu akaweka ile beseni kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia ndani yake maji ya kuosha.+