Kutoka 40:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Walipoingia kwenye hema la mkutano na walipoenda karibu na ile madhabahu, walikuwa wakioga,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
32 Walipoingia kwenye hema la mkutano na walipoenda karibu na ile madhabahu, walikuwa wakioga,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.