Mambo ya Walawi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamletea Yehova toleo la hatia, kondoo-dume ambaye hana kasoro+ kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:6 “Kila Andiko,” uku. 27
6 Naye atamletea Yehova toleo la hatia, kondoo-dume ambaye hana kasoro+ kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani.