Mambo ya Walawi 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama toleo la dhambi lilivyo, ndivyo na toleo la hatia lilivyo. Kuna sheria moja kwa matoleo hayo.+ Litakuwa la kuhani ambaye atafanya upatanisho kwa toleo hilo.
7 Kama toleo la dhambi lilivyo, ndivyo na toleo la hatia lilivyo. Kuna sheria moja kwa matoleo hayo.+ Litakuwa la kuhani ambaye atafanya upatanisho kwa toleo hilo.