Mambo ya Walawi 7:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Hili ndilo lililokuwa fungu la kuhani la Haruni na fungu la kuhani la wanawe kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, katika siku ambayo aliwatoa+ watumikie wakiwa makuhani kwa Yehova,
35 “‘Hili ndilo lililokuwa fungu la kuhani la Haruni na fungu la kuhani la wanawe kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, katika siku ambayo aliwatoa+ watumikie wakiwa makuhani kwa Yehova,