Mambo ya Walawi 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya hayo Musa akamchinja na kuchukua sehemu ya damu yake na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la Haruni na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:23 Mnara wa Mlinzi,11/15/2014, kur. 9-10
23 Baada ya hayo Musa akamchinja na kuchukua sehemu ya damu yake na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la Haruni na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+