Mambo ya Walawi 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 huo ni ukoma wa kudumu+ katika ngozi ya mwili wake; naye kuhani atamtangaza kuwa asiye safi. Hapaswi kumtenga,+ kwa kuwa yeye si safi.
11 huo ni ukoma wa kudumu+ katika ngozi ya mwili wake; naye kuhani atamtangaza kuwa asiye safi. Hapaswi kumtenga,+ kwa kuwa yeye si safi.