-
Mambo ya Walawi 13:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Lakini ikiwa kuhani ataliangalia, na, tazama sasa, hakuna nywele nyeupe katika doa hilo nalo halijapenya chini ya ngozi nalo limefifia, ndipo kuhani atamtenga siku saba.
-