Mambo ya Walawi 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye kuhani atalitazama pigo hilo katika siku ya saba; na ikiwa kule kuanguka kwa nywele kusiko kwa kawaida hakujaenea, wala hakuna nywele za manjano ambazo zimekuwa hapo na kule kuanguka kwa nywele kusiko kwa kawaida+ hakujapenya chini ya ngozi,
32 Naye kuhani atalitazama pigo hilo katika siku ya saba; na ikiwa kule kuanguka kwa nywele kusiko kwa kawaida hakujaenea, wala hakuna nywele za manjano ambazo zimekuwa hapo na kule kuanguka kwa nywele kusiko kwa kawaida+ hakujapenya chini ya ngozi,