Mambo ya Walawi 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la hatia, naye kuhani ataitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayejitakasa na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+
14 “Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la hatia, naye kuhani ataitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayejitakasa na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+