Mambo ya Walawi 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye kuhani atatoa toleo la dhambi+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya yule anayejitakasa kutokana na uchafu wake, na baadaye atachinja lile toleo la kuteketezwa.
19 “Naye kuhani atatoa toleo la dhambi+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya yule anayejitakasa kutokana na uchafu wake, na baadaye atachinja lile toleo la kuteketezwa.